Tuesday, October 12, 2010

Uwindaji

aaaa maisha ya vijijini kwetu raha mustarehe, hakuna haja ya kupanga foleni kwenye butcher, aa sie twawinda ndege enzi hizo tunaita vinjuni, huku kwetu lakini sijui kijijini kwenu, "aaa simkosi huyo lazima nimdungue"

No comments:

Post a Comment