Kupitia blog hii utapata nafasi ya kuyajua mambo yanayojiri kila siku katika Mkoa wa Mbeya zikiwemo, habari mbalimbali zinazohusu jamii, matukio, na tetesi mbalimbali. Pia kupitia blog hii tutajadili masuala mbalimbali ya maendeleo yanayohusu Mkoa wa Mbeya.
Tuesday, October 12, 2010
Uwindaji
aaaa maisha ya vijijini kwetu raha mustarehe, hakuna haja ya kupanga foleni kwenye butcher, aa sie twawinda ndege enzi hizo tunaita vinjuni, huku kwetu lakini sijui kijijini kwenu, "aaa simkosi huyo lazima nimdungue"
No comments:
Post a Comment