Kupitia blog hii utapata nafasi ya kuyajua mambo yanayojiri kila siku katika Mkoa wa Mbeya zikiwemo, habari mbalimbali zinazohusu jamii, matukio, na tetesi mbalimbali. Pia kupitia blog hii tutajadili masuala mbalimbali ya maendeleo yanayohusu Mkoa wa Mbeya.
Monday, October 11, 2010
Kwa taarifa yako
Enzi hizo, nakumbuka sarakasi tulikuwa tunaangalia mashuleni wakija wanne star na wenzake, sie tulikuwa tukimwita wane, lakini kwa sasa mchezo huo si maarufu ingawa si maarufu.
No comments:
Post a Comment