Kupitia blog hii utapata nafasi ya kuyajua mambo yanayojiri kila siku katika Mkoa wa Mbeya zikiwemo, habari mbalimbali zinazohusu jamii, matukio, na tetesi mbalimbali. Pia kupitia blog hii tutajadili masuala mbalimbali ya maendeleo yanayohusu Mkoa wa Mbeya.
Thursday, October 14, 2010
Mama na mtoto
Aaaa nimeyaona magimbi ngoja nimuwahi anayeuza hata mososi wa hapa restaurant siutaki tena, ni kama anavyoelekea kusema kijana anayetoka restaurant. magimbi kwa chai usipime
No comments:
Post a Comment