Monday, October 11, 2010

Mitaani kwetu

Mchezo wenyewe ulianza hivi, aisee mi ntakutoa ngeu hivi hunifahamu eee?????
Haa yaani tumevua mashati nakukimbia lakini bado unakuja?hivi unadhani sikuogopi nitakutoa meno ohoo
aaaaa nyie mtauana achanen, mnajifanya wajanja wee muachie mwenzako utamuua.
Kama Kenya wengine wanatazama sinema ya bure tena masumbwi kavu kavu ambayo ni adimu huku wengine wakisonga na shughuli zao kama kawa.

No comments:

Post a Comment