
Wakulima wa Bonde la Uyole wakisafisha karoti katika mto ulio karibu na daraja la Igawilo nje kidogo ya Jiji la Mbeya.Baadhi ya watu wanatabia ya kula karoti zikiwa hazijaoshwa mara baada tu ya kununua kutoka sokoni. Ofisi ya Mkemia Mkuu imefunguliwa Mbeya ni nafasi ya ofisi hiyo kuchunguza kama maji hayo yanafaa kwa matumizi ya binadamu.
No comments:
Post a Comment