Wednesday, May 19, 2010

Ofisi ya Mkemia Mkuu sasa Nyanda za Juu Kusini

Kwa wale wenye tabia ya kupachika mimba wanafunzi, wanaokataa au kusingiziwa watoto, kubaini wanaohusika na mauaji ya watoto na uchunaji ngozi pamoja na uchunguzi wa kisayansi kama kwa maji ya kisima na mengine. Sawa dawa ipo sebuleni na si jikoni tena Baada ya Mkemia Mkuu kufungua ofisi kwa Mikoa ya Nyanda za Juu kusini. Wananchi tutumie fursa hii kwa ajili ya utatuzi wa mambo mbalimbali yanahusiana na tafiti za kisayansi.Tuelewe kuwa ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali si kwa ajili ya kushughulikia masuala ya jinai tu

No comments:

Post a Comment