Thursday, May 20, 2010

Kilimo Kwanza na waandishi

Wakulima wa Iganjo wakiwa wanapanda viazi.Uyole ni moja ya eneo linaloongoza kwa uzalishaji wa viazi,nyanya, vitunguu na mahindi, ambapo eneo hilo linategemea zaidi kilimo cha umwagiliaji.
Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa wanamuhoji mmoja wa wakulima katika mashamba ya umwagiliaji ya Iganjo.

No comments:

Post a Comment