Kupitia blog hii utapata nafasi ya kuyajua mambo yanayojiri kila siku katika Mkoa wa Mbeya zikiwemo, habari mbalimbali zinazohusu jamii, matukio, na tetesi mbalimbali. Pia kupitia blog hii tutajadili masuala mbalimbali ya maendeleo yanayohusu Mkoa wa Mbeya.
Thursday, May 20, 2010
Kilimo Kwanza na waandishi
Wakulima wa Iganjo wakiwa wanapanda viazi.Uyole ni moja ya eneo linaloongoza kwa uzalishaji wa viazi,nyanya, vitunguu na mahindi, ambapo eneo hilo linategemea zaidi kilimo cha umwagiliaji.
Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa wanamuhoji mmoja wa wakulima katika mashamba ya umwagiliaji ya Iganjo.
No comments:
Post a Comment