
Jumamosi, May 15, nilibahatika kuhudhuria maadhimisho ya siku ya familia Duniani ambayo Jijini Mbeya yaliazimishwa katika viwanja vya shule ya msingi Nzovwe, kwa umuhimu wa siku yenyewe iliyoandaliwa na taasisi ya Champion nilitaraji wazazi wangehudhuria kwa wingi, lakini idadi ya watoto ilikuwa kubwa huku matumizi ya kondomu yakihimizwa

Picha ya juu ni baadhi ya vijana walioshiriki katika maadhimisho ya siku hiyo wakiwa na kondomu za familia walizogawiwa, na chini baadhi ya watoto waliokuwa wamejazana katika uwanja huo