Kupitia blog hii utapata nafasi ya kuyajua mambo yanayojiri kila siku katika Mkoa wa Mbeya zikiwemo, habari mbalimbali zinazohusu jamii, matukio, na tetesi mbalimbali. Pia kupitia blog hii tutajadili masuala mbalimbali ya maendeleo yanayohusu Mkoa wa Mbeya.
Tuesday, November 16, 2010
Breaking News
Mizengo Peter Pinda ndiye waziri mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mwaka 2010-2015, mtoto wa mkulima kutoka katika jimbo la Katavi Mkoa mpya wa Katavi.
No comments:
Post a Comment