Tuesday, November 16, 2010

Breaking News

Mizengo Peter Pinda ndiye waziri mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mwaka 2010-2015, mtoto wa mkulima kutoka katika jimbo la Katavi Mkoa mpya wa Katavi.

Monday, November 8, 2010

Breaking news

Haile Gebrselassie(37) rasmi amejiuzulu katika mbio za marathon baada ya mguu wake kupata hitilafu katika mbio za marathon New York, anasema anafikiria kuingia katika siasa lakini kabla ataangalia namna ya kuwasaidia wananchi wa Ethiopia. mfukuza upepo huyo anamiliki shule mbili, ni wakala wa kuuza magari, hoteli na biashara kadhaa ambazo zimetoa ajira kwa Raia wa Ethiopia