Monday, September 27, 2010

ajali ya mwenyekiti

Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Mbeya,(MBPC), Nico Mwaibale pamoja na mkewe pamoja na Katibu Mkuu wa MBPC, Patrick Kossim na abiria mwingine ambaye hajafahamika jana walinusurika kufa baada ya gari yao kupata pancha tairi la nyuma, katika eneo mafinga na gari yao kutumbukia kolongoni , lakini wote ni wazima, gari imetolewa korongoni linarudishwa Mbeya kwa matengenezo na majira ya saa 10 hivi walikuwa wanajiandaa na safari ya kuelekea DSM, sasa kwa basi na si kwa gari binafsi tena