Kupitia blog hii utapata nafasi ya kuyajua mambo yanayojiri kila siku katika Mkoa wa Mbeya zikiwemo, habari mbalimbali zinazohusu jamii, matukio, na tetesi mbalimbali. Pia kupitia blog hii tutajadili masuala mbalimbali ya maendeleo yanayohusu Mkoa wa Mbeya.
Friday, September 25, 2009
Ludewa
natumai wote muwazima na mnaendelea vyema na shughuli za kila siku.
Niwaombe radhi kwa kushindwa kuweka vitu vipya kila siku.
Kuna mdau alivutiwa na picha za watoto wa Ludewa ambao walikuwa kipokea misaada ya nguo na baiskeli na akavutiwa na kuiona kuwa kuna haja ya yeye kwenda kutoa msaada kwa watoto hao.
Ninachoweza kumshauri ni kuwasiliana moja kwa moja na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Ludewa, na kwa ushauri ikiwa mdau anahitaji kufika hadi manda aende kipindi cha kiangazi kwa kuwa mvua zikianza kwa mujibu wa wenyeji hakufikiki kwa urahisi.
Asante
Subscribe to:
Posts (Atom)